Deuteronomy 30:15-16

15 aTazama, naweka mbele yako leo uzima na mafanikio, mauti na maangamizo. 16 bNinakuamuru leo kwamba umpende Bwana Mwenyezi Mungu wako, utembee katika njia zake, na kutunza maagizo yake, amri na sheria zake; ndipo utakapoishi na kuongezeka, naye Bwana Mwenyezi Mungu wako atakubariki katika nchi unayoingia kuimiliki.

Copyright information for SwhKC